Matango yanashika nafasi ya nne kwa kulimwa katika aina ya mbogamboga zinazolimwa duniani kote na tunda hili linafahamika kuwa miongoni mwa vyakula bora kwa afya yako maranyingi yanaitwa superfood. JINSI YA KUCHAGUA TANGO BORA KWA AFYA YAKO 1.Angalia tango lenye rangi ya kijani mkozo(dark green) 2.Angalia tango ambalo bado ni ligumu vizuri halijalegea(firm). Baada ya kuchagua tango osha vizuri kwa maii safi sasa unaweza kulitumia kwenye kachumbari,au kwa kulikata na kula hivyovyo,pia kutengenezea juisi FAIDA ZA KUTUMIA MATANGO 1.Kuupatia mwili maji ya kutosha Kwa wale ambao ni wavivu au wako busy sana hata kupata muda wa kunywa maji ya kutosha inakuwa ngumu,Tafuta matango ya baridi ambayo asilimia tisini ni maji,Yatasaidia kurudisha maji yaliyopotea mwilini 2.Husaidia kupambana na joto kali ndani na nje ya mwili Kula tango husaidia kupunguza joto kali ndani ya mwili(heartburn) na pia kupaka kwenye ngozi kutakusaidia kpunguza kuungua na jua 3.Huondoa sumu mwilini(toxins